Dunia nira ya malezzy…
Photo Credit:Google Tingua risto
Kama haikuwa mbaya kutosha kupata wasee wa same gender wameamua kusexuana, sijui utachukua aje hisihi risto.
Piga mbisha ya mdhama na mniaju wake, mdem. Alafu riba wanakuchapia ni ati, wamependana. Of course utadai hiyo ni kawa kati ya mse na mathake lakini ya hawa ni mapenzi ya malover, yaani wanakatiana.
Mary Carter anadai wamekuwa attracted to each other (na daughter), tangu Vertasha akuwe miaka kinde na six. Lakini wakachill hadi afike 18, kabla kuanza kumangana. Na sasa wameamua kujitokeza in public, wakitaka kusaidia wasee wanaweza kuwa kwa situation kama yao, kupata confidence na kujibali venye wako.
Ata kama wanatambua incest haikubaliki na law, wanadaisha hiyo relationship yao haina mbulu, kwa sababu hanaku mniaju atazaliwa coz wote ni mambuus. Alafu eti hanaku msee wanaumiza. Plus wanapenda kuwaiana lungula tu.
Unadhani wanafanya kitu poa ama wanakushukishia?