Kuna ngori na kutafuna gum!

May 6 2015 11:25am     0 902

Photo Credit:Google   Tingua risto

Kwa kilami kunakuanga na msemo ya kudaisha haifai msee kudu kitu jamo sana inaweza ingiza nux haijuani. Enyewe kuna venye mwili zetu hazijazoea stress. Sa husemekana ni poa kuchew gum, bila kucount riba ya kuweka mdomo freshi, kumbe inasaidianga brain ya msee kuchangamka.

Lakini Samantha Lewis kutoka UK aligenya juu ya kutafuna gum mob kuruka. Eti alikuwa amejiwai kahabit kakutafuna zile sugar-free gums, kama kinde na four kwa siku. Sijui kama ilikuwa ni addiction ama ilikuwa swag yake tu. alafu alikuwa amekufa zile aina ya Trident chewing gum. 

Husuyu mbuus wa miaka kinde na nine, alijipata kwa ngori baada ya kuexperience headache mwenda alafu kabla kudedi akasuffer violent fits. Masake alikuwa hashikiki juu ya kulostisha mniaju mapema hivyo.

Venye alipigwa examination, ilipatikana kumbe mwili ya Samantha ilikuwa imelemewa kuabsorb minerals za kutosha na pia alikuwa na chewing gum fogo ninda ya tumbo. Sa kuna venye hisiyo chewing gum ilijaza artificial sweetners zenye baada ya kudishiwa zikiwa kibao zilifanya mwili ya msus kuchapa.

Sa ukiwa pero manze kaa chonjo na chenye waniaju wako wanadema. Hii haifai kua blanda inafanyika hasapa mtaani jo

Related Stories