Ngori za keroma mtaani

April 24 2015 5:17pm     0 2264

Photo Credit:Google   Tingua risto

Patrick Majong alijipata kwa ngori baada ya kuvunja wifey wa kwake na keroma. Kuzidisha hishi couple yenye imemarika miaka nane ikakatiza ulovito through divorce. Lakini sijui utachukua side ya nani ukishakiche vile risto yenyewe ilifika paha.

Riba iliishia na makarao wa Lowell, Massachusetts, kukimbia kuenda kusave life ya mthama alikuwa anavunjwa na hubby wa kwake. Inakaa kuna neighbor aliweza kudungia makarao akidaisha kuna domestic assault.

Na enyewe vile walifika pale kejani walipata wife akiwa amejaa mabakshish za dema kwa uso na nywele. Blanda ilizua venye hubby alimuja home na kuget wife akipika waffles (aina ya snack), eti kama keroma ya supper.

Ni kama alikatsika na labda venye aliuliza mbona hanaku keroma ya maana, alianzisha argument yenye alibaki amenyamazisha na kuvunjana. Sa venye amebambwa, eti anakiche charges za assault and battery akiwa anatumia weapon, hisihi ikiwa waffles.

Lazima kulikuwa na risto zinengi za kufanya wadharauliane hivyo lakini unacheki ni kama noma ilikuwa ya nani sana sana?

Related Stories